HII HAPA HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIHUTUBIA TAIFA KUPITIA WAZEE WA DAR LEO


 Feb 13 2016 Rais John Pombe Magufuli alikutana na Wazee wa Dar na kulihutubia Taifa katika ukumbi wa Diamond Jubilee, hapo hapo akachukua time yake kuyawasilisha ya moyoni.


Baadhi ya aliyozungumza ni pamoja na ‘Nataka mjue kuwa ni watu wachache sana ambao wametufikisha hapa, tutawashughulikia kwa faida yenu ‘

Hili la utajiri pia limemgusa ‘Kuna watu kwao pesa siyo tatizo, na bahati mbaya pesa zenyewe hawajazipata kwa njia halali‘

Vipi kuhusu siku zake 100 za uongozi? ‘Inawezekana mnatupima sisi katika siku 100, lakini na ninyi mnasahau mmefanya nini kwa siku 100‘

BOFYA MANENO HAYA KUSIKILIZA HOTUBA YOTE AU HAPA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527