CHADEMA NOMAAA!! HEBU ANGALIA JINSI WALIVYOFUNIKA LEO HUKO ITILIMA MKOANI SIMIYU

Maelfu ya wananchi wakimsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA  Taifa Freeman Mbowe kijijini Lagangabili jimbo la Itilima mkoani Simiyu  leo jioni wakati wa uzinduzi wa FTP 200 ambao ni mpango wa ulinzi wa kura-Picha zote na mpiga maalumu wa Malunde1 blog

Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo  (CHADEMA) Freeman Mbowe akiwahutubia  wananchi wa wilaya ya Itilima katika Mkutano wa hadhara ulifanyika katika viwanja vya Lagangabili makao makuu ya ya wilaya

Mkutano unaendelea


Mkutano unaendelea


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527