Wazee hao walisema wameamua kumsimika mwenyekiti huyo wa Chadema taifa kuwa Chifu wa Kisukuma, kutokana na Chama anacho kiongoza kimekuwa mhimili mkubwa wa
kupigania maslahi ya wananchi katika kuhakikisha wanapata haki zao za msingi
katika nyanja zote-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog
Makamanda wakiwa eneo la tukio -Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blogEneo la mkutano Mbowe akishikana mkono na Manju aliyekuwa anatoa burudani katika mkutano huo-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog
Mwenyekiti huyo wa Chadema taifa ambaye pia ni Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe aliwashukuru wazee hao wa kabila la wasukuma kumsimika kuwa Chifu wao, huku akiudhihirishia umma kuwa Chadema siyo chama cha ukabila wala udini-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog
Mheshimiwa Mbowe akishikana mkono na mcheza ngoma wa Shinyanga vijijini-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog
Vijana wa Red brigade wakiwa kwenye uzinduzi wa kongamano la vijana na kufunga mafunzo yao -Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog |
Burudani inaendelea-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog |
Burudani inaendelea -Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog |
Wazee wa Kisukuma wakifanya yao katika mkutano wa hadhara wa mheshimiwa Mbowe ambapo maelfu ya watu walishuhudia tukio hilo-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog |
Mbowe alisema hiyo ni historia katika nchi hii
na kuonyesha kwamba Chadema hakina ubaguzi bali ni chama cha wananchi wote,
chenye lengo la kuleta ukombozi wa nchi , ambao ulipotea zaidi ya miaka 50,
hivyo wanaodai Chadema ni Chama cha ukabila waache lugha hizo za upotoshaji-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog
Awali Makamanda wa CHADEMA wakiwasili eneo la tukio-Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog |
Awali makamanda wa CHADEMA wakiwasili eneo la tukio--Picha na Marco Maduhu-Malunde1 blog