Ni jambo
la kushangaza kidogo kuona mtoto akizaliwa huku akiwa na meno tayari
lakini mama huyo anayeishi katika mji wa Missouri, Marekani ametamka
kuwa hataweza kumnyonyesha mtoto wake aliyemzaa baada ya kugundulika
kuwa amezaliwa akiwa na meno mawili ya mbele.
“Wamesema alizaliwa akiwa na meno mawili ya mbele,imekua ni mshtuko kwa kila mtu kwani ni jambo la ajabu kidogo:-Bailey
Alisema mbali ya watu kushangaa pia madaktari walikua wakishangaa.
Alisema kutokana na hali hiyo Alyssa Bella atakua akinywa
maziwa ya kopo na si kunyonya.
TAZAMA VIDEO HAPA