ANGALIA PICHA ZAIDI NA VIDEO TUKIO LILILOTIKISA MJI WA SHINYANGA JANA MAKABURINI

Ndugu wa marehemu akifanya tambiko kwenye kaburi la marehemu Benadetha Steven aliyefariki dunia siku ya mwaka mpya Januari 1,2015 kitendo ambacho kiliwakera wananchi na jana mchana kuondoka eneo ala tukio kisha polisi kuwakamata ndugu wa marehemu na baadaye kuwaachia kisha kuruhusu mazishi yaendelea jana jioni  japokuwa mwitikio wa wananchi ulikuwa mdogo


Ndugu wa marehemu akifanya yake kaburini,kulia ni kiboksi kilichokuwa kimebeba kuku aliyechinjwa kisha kuwekwa kwenye tumbo la marehemu na kuzikwa naye.TAZAMA VIDEO HAPA CHINI UONE TUKIO ZIMA




Bonyeza hapa Tukupe habari zote mara moja zikitoka "HABARI" VITUKO "MAPENZI"MAGAZETI,UDAKU>
Endapo una Habari,Picha,Video,Tangazo au Tatizo Lolote wasiliana nasi kwa namba  +255 688 405 951

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527