Washiriki wakijadili kazi kwenye vikundi huku mwezeshaji akifuatilia kilichokuwa kinajiri |
Abdul Bandola kutoka Standard FM ya Singida akichangia jambo darasani |
Revocatus kutoka Rasi Fm akiwasilisha kazi ya kundi lake |
Kadama Malunde kutoka Shinyanga Press Club ambaye pia ni mkurugenzi wa Malunde1 blog akifuatilia kilichokuwa kinaendelea katika semina hiyo |
Hapa ni katika ukumbi wa kanisa la Moravian Tabora semina inaendelea kuhusu Media Audience Research |
Kazi za vikundi zinaendelea |
Mijadala inaendelea |
Mijadala darasani |
Afisa mradi wa Vyombo vya Habari na Huduma za Mawasiliano-RLDC Kanda ya Kati Tanzania Kindamba Namliaakiwasilisha mada katika semina hiyo
Kulia ni Kadama Malunde kutoka Shinyanga Press Club akipokea cheti cha ushiriki wa mafunzo hayo ya wiki 3 mjini Tabora |
Natalis Natalis kutoka Planet FM ya Morogoro akishikana mkono na mwezeshaji baada ya kpokea cheti cha Ushiriki |
Kulia ni Edward Mganga kutoka Top Radio ya Morogoro akishikana mkono na mwezeshaji baada ya kupokea cheti cha ushiriki |
Kulia ni Sylivia Chilolo kutoka TOP Radio akipokea cheti |
Steve Kanyefu kutoka Radio Faraja ya Shinyanga akipokea cheti |
Geofrey Archard kutoka CG Radio ya Tabora akipokea cheti |
Picha ya pamoja baada ya mafunzo hayo |
Picha ya pamoja baada ya mafunzo |
Picha ya pamoja
Mpenzi Msomaji,Tunapenda kukutumia Habari zetu zote mara tu Tunapoziweka Mtandaoni.Kujiunga nasi Bonyeza Hapa "HABARI" VITUKO "MAPENZI", MAGAZETI,UDAKU>
Endapo una Habari,Picha,Video,Tangazo au Tatizo Lolote wasiliana nasi kwa namba +255 688 405 951
|