Laana!! BAADA YA JAMAA WA KENYA KUFANYA MAPENZI NA KONDOO,MWINGINE TENA ABAKA MBWA

Saa chache baada ya kupata stori kutoka Kenya iliyohusiana na mtu mmoja kukamatwa akituhumiwa kumbaka kondoo, mwingine tena ameingia kwenye headline baada ya kukamatwa kwa kosa la kumbaka mbwa.
Hii inatoka Miami, Florida ambapo jamaa mmoja Jonnie Boggess mwenye umri wa miaka 47 alikamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ukatili dhidi ya wanyama baada ya kufanya mapenzi na mbwa.
Akijitetea kutokana na kufanya kosa hilo, Boggess amesema alikuwa sahihi kufanya mapenzi na mbwa huyo kwa kuwa mbwa alikuwa amefikia uzito wa kilogramu 19, na alifanya kitendo hicho ‘polepole’ na haikuwa mara kwanza kufanya hivyo kwa kuwa anampenda sana mbwa wake huyo.
Muda mfupi baadaye jamaa huyo alianza kujutia alichokifanya na kudai haikuwa akili yake ila ni kwa sababu ya pombe, kitu ambacho majirani zake walikanusha na kusema kuwa hiyo ilikuwa kawaida ya jamaa kufanya mapenzi na mbwa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527