Sasa Kimeeleweka_YALE MAMILIONI YA FEDHA YALIYOIBIWA KISHAPU SASA YANARUDISHWA ,KILA KITU KIMEKAMILIKA

Aliyesimama ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Ndugu Justine Sheka

Halmashauri ya wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imefanikiwa kurudisha kiasi cha shilingi  billioni 2.1  zilizosemekana kuibiwa  na baadhi ya watumishi wa idara mbalimbali wakishirikiana  na watumishi wa benki ya NMB   Manonga tawi la Shinyanga mjini,huku watumishi nane waliosimamishwa wakirejeshwa kazini.
BOFYA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527