Hali ni tete katika kituo cha afya Kambarage Shinyanga.Pichani wakinamama wajawazito na waliojifungua wakiwa katika wodi moja kwenye kituo cha afya cha Kambarage manispaa ya Shinyanga kutokana na upungufu wa wodi,hali ambayo inaweza kuhatarisha afya zao kwa kuambukizana magonjwa. SOMA HABARI KAMILI HAPA |