Huduma inaendelea kutolewa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga |
Baadhi ya majeruhi wameiambia malunde1 blog kuwa gari aina ya fuso waliyokuwa wamepanda tena kwa kujazana ilikuwa inafukuzana na fuso nyingine na ghafla walijikuta wakiwa wameshapinduka |
Kulia ni kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Maguja Daniel akichukua maelezo kutoka kwa askari wa usalama barabarani |
Majeruhi akipelekwa wodini |
Miili ya marehemu ikiwa katika eneo la dharura katika hospitali ya mkoa wa shinyanga |
Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Shinyanga Dkt Maguja Daniel akizungumza na waandishi wa habari hivi punde-Picha zote na Kadama Malunde-Malunde1 blog SOMA HAPA UJUE KINACHOENDELEA ZAIDI KUHUSU AJALI HII MBAYA |