Pombe siyo Maji!!! TAZAMA ZILIVYOMFANYA POLISI HUYU MKESHA WA PASAKA HUKO GEITA

 Ukisikia pombe siyo maji ,ukweli inabidi ubaki pale pale,pichani ni sajenti wa jeshi la polisi katika kituo cha polisi wilayani Geita aliyejulikana kwa jina moja la Geradi akiwa amelewa chakali kwenye eneo karibu na barabara kuu itokayo Geita kwenda Mwanza akiwa hajitambui siku ya mkesha wa pasaka kama unavyoona hapo pichani kamera za mwandishi wetu kutoka mkoani Geita zilivyomnasa
Pombe bwana!!,tumia kiasi.......

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments