KUMBE FERGUSON ALIPITISHA UAMUZI WA MOYES KUTIMULIWA MAN UNITED


Sir Alex Ferguson ni kati ya waliopitisha uamuzi wa kumtimua kocha David Moyes licha ya kwamba ndiye aliyemchagua apewe nafasi ya kuifunsisha Manchester United.

Imeelezwa Ferguson alishiriki kwenye kikao hicho kilichofanyika kwenye hoteli moja jijini Manchester.
 
Baada ya kikao hicho cha mwisho na Ferguson, ndiyo uamuzi wa mwisho kwamba Moyes atimuliwe.


Kikao hicho kilimjumuisha Ferguson na Bosi wa Man United, Ed Woodward saa 1:40 na baada ya hapo Moyes akapigwa panga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments